
Picha ya Matonya inayomuonesha akiwa amelala vichakani hajitambui ilisambaa wiki hii kwenye mitandao ya kijamii kiasi cha watu kuzusha kuwa amefariki dunia.
Rich alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa tangu afahamiane na Matonya hajawahi kumuona amekunywa pombe hadi kufikia hatua ya kupoteza.

Chapisha Maoni