
Taifa Stars imejiweka pazuri katika Kundi L, baada ya kulazimisha suluhu ugenini dhidi ya Uganda iliyocheza mbele ya maelfu ya mashabiki wake waliojitokeza kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole jijini Kampala.Matokeo hayo yanaifanya Taifa Stars kupa…
Taifa Stars imejiweka pazuri katika Kundi L, baada ya kulazimisha suluhu ugenini dhidi ya Uganda iliyocheza mbele ya maelfu ya mashabiki wake waliojitokeza kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole jijini Kampala.Matokeo hayo yanaifanya Taifa Stars kupa…
Makocha wa timu kubwa barani Ulaya wamekitaka chama cha mpira barani humo (Uefa) kufanya mabadiliko ya kanuni ya faida ya magoli ya ugenini katika michuano ya Ulaya.Makocha hao pia wamependekeza msimu wa usajili uhitimishwe kwa wakati mmoja katik…
Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta anayecheza katika klabu ya KRC Genk ya Belgium na mshambuliaji wa Al Hilal ya Sudan Thomas Ulimwengu wametua nchini tayari kujiunga na kambi ya timu hiyo inayojiandaa kuivaa Uganda…
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Manchester City Raheem Sterling amejitoa katika kikosi cha England katika mechi dhidi ya Uhispania na Uswizi.Mchezaji huyo wa miaka 23 anaumwa mgongo shirikisho la soka limesema.Sterling ndiye mchezaji pekee aliyek…
Cristiano Ronaldo ndiye mchezaji anayelipwa zaidi Serie A na anaingiza mara tatu zaidi ya mchezaji anayemfuatia kwa kulipwa kwenye ligi hiyo.Hata hivyo, Ronaldo hadi sasa hajadhihirisha thamani ya malipo hayo makubwa, akiwa amecheza mechi tatu bi…
Makundi ya Europa League baada ya kupangwa Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa na kazi nyepesi katika Europa League baada ya timu yake, KRC Genk kupangwa Kundi I pamoja na Besiktas ya Uturuki, Malmo FF ya Sweden na Sarasporg FC ya No…
KOCHA wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, M-Cameroon, Emmanuel Amunike, amekutana na wachezaji Simba aliowaondoa kwenye kikosi chake baada ya kuchelewa kuripoti kambini.Baada ya kukutana nao, Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Cliff…
KIUNGO wa kimataifa wa Croatia, Luka Modric ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa kiume wa Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), baada ya kuiongoza Real Madrid kutwaa taji la tatu la Ligi ya Mabingwa.Hiyo ni baada ya kuwapiku washambuliaji wa kimataifa …
Cristiano Ronaldo atarejea Old Trafford baada ya Manchester United kupangwa Kundi H pamoja na mabingwa wa Italia, Juventus.Tottenham ina mtihani mgumu wa kufuzu hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kupangwa Kundi B na Barcelona.Manchest…
MANCHESTER United wamekuwa kwenye hali mbaya baada ya kupoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye Ligi Kuu England.Kocha Jose Mourinho, juzi aliwajibu ovyo waandishi wa habari baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-0 na Tottenham Hotspur kwenye Uwanja …
Kocha mkuu wa Timu ya Tanzania, Taifa Stars, Emmanuel Amunike, amewaondoa wachezaji 6 wa Simba kwa kosa la kuchelewa kuripoti kambini isipokuwa Mlindalango Aishi Manula.Wachezaji hao isipokuwa Manula aliyewahi kambini, walitakiwa kuripoti siku ya…
Makamu Rais wa zamani wa FIFA amehukumiwa kifungo cha miaka tisa gerezani nchini Marekani ikiwa ni matokeo ya uchunguzi wa ruhswa iliyofanywa ndani ya chombo hicho kikubwa cha soka duniani.Juan Angel Napout, ambaye anatokea Paraguay alipatikana n…
YANGA SC imekamilisha mechi zake za Kundi D kwa kuchapwa 1-0 na wenyeji, Rayon Sport, bao pekee la mshambuliaji Mrundi, Bonfilscaleb Bimenyimana dakika ya 19 Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali.Kwa matokeo hayo, Rayon inakwenda Nusu Fainali baada y…
Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji (TFF) na Msimamizi wa Kituo cha Michezo Shinyanga, Mbasha Matutu, ameibuka na kulijibu Shirikisho la Soka Tanzania baada ya kumfungia maisha kutojihusisha na masuala ya soka.Kamati ya Maadili iliyokutana Jum…