0
Arsenal katika mchezo huo wa kirafiki ilitoka sare ya 1-1 kisha kupigiana matuta na kushinda penalti 3-2 mechi iliyopigwa Shangai leo Jumatano.
In the headlines Arsenal yaonyesha makali yake msimu huu kwa Bayern Munich
WEDNESDAY JULY 19 2017
Klabu ya Arsenal imeanza kulipa kisasi cha mabao 5-1 ilichopokea kutoka kwa Bayern Munich kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu uliopita.
Arsenal katika mchezo huo wa kirafiki ilitoka sare ya 1-1 kisha kupigiana matuta na kushinda penalti 3-2 mechi iliyopigwa Shangai leo Jumatano.
Kocha Arsene Wenger alionekana kwenye benchi akishuhudia silaha zake mpya alizosajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi msimu mpya wa 2017/18.

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top