Sport Headline
Makundi ya Europa League kazi ipo kwa vigogo Egland
Makundi ya Europa League baada ya kupangwa Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa na kazi nyepesi katika Europa League baada ...
Sport Headline
Makundi ya Europa League kazi ipo kwa vigogo Egland
Makundi ya Europa League baada ya kupangwa Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa na kazi nyepesi katika Europa League baada ...
Sport Headline
Luka Modric ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa kiume wa UEFA
KIUNGO wa kimataifa wa Croatia, Luka Modric ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa kiume wa Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), baada ya kuion...
Sport Headline
RONALDO USO KWA USO NA MAN UNITED
Cristiano Ronaldo atarejea Old Trafford baada ya Manchester United kupangwa Kundi H pamoja na mabingwa wa Italia, Juventus. Tottenham in...
Sport Headline
Tottenham Spurs waichapa 3-0 Manchester United Old Trafford na kumuongezea shinikizo Jose Mourinho
Tottenham waliendeleza mwanzo wao mwema wa Ligi Kuu England msimu huu kwa kuwafunga Manchester United mabao matatu bila jibu na kumuonge...
Sport Headline
Arsenal yaichapa West Ham 3-1
Arsenal imepata ushindi wake wa kwanza msimu huu baada ya kuichapa West Ham kwa mabao 3-1, huku Everton ikilazimishwa sare 2-2 AFC Bourn...
Manchester City imebanwa mbavu na Wolves katika mchezo wa Ligi Kuu England kwa matokeo ya sare ya 1-1. Wolves walikuwa wa kwanza kujipat...
Sport Headline
UEFA Super Cup: Atletico Madrid waichapa Real Madrid 4-2
Real Madrid walianza maisha bila mshambuliaji wao nyota wa zamani Cristiano Ronaldo na meneja Zinedine Zidane kwa kushindwa 4-2 katika d...
Sport Headline
Cristiano Ronaldo aifungia bao timu yake mpya, Juventus
Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akiifungia timu yake mpya, Juventus bao la kwanza leo dakika ya nane katika mchezo wa kirafiki dhidi ya t...
Sport Headline
Barcelona yatwaa ubingwa wa Super Cup
Klabu ya Barcelona, imetwaa ubingwa wa kombe la Super Cup,kwa kuifunga Sevilla kwa magoli 2-1 katika mchezo uliochezwa nchini Morroco. S...
Sport Headline
Liverpool yaichapa West Ham 4-0
England. Mabao ya Mohamed Salah, Sadio Mane, Daniel Sturridge yameipa ushindi mnono klabu ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England...
Sport Headline
Chelsea yaichapa 3-0 Huddersfield ligi kuu England leo
MABAO ya N'Golo Kante dakika ya 34, Jorginho kwa penalti dakika ya 45 na Pedro dakika ya 80 yameipa Chelsea ushindi wa 3-0 dhidi ya ...
Sport Headline
SPURS YAICHAPA 2-1 NEWCASTLE
England. Mabao yaliyofungwa na beki wa Tottenham, Jan Vertonghen na Dele Alli yalitosha kuwanyamazisha Newcastle United katika mechi ya ...
Sport Headline
Liverpool yaichapa Torino 3-1
Klabu ya Liverpool, imemaliza mechi za kujipima nguvu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya kwa ushindi wa kishindo wa mabao 3-1 d...
Sport Headline
MAN CITY YAICHAPA CHELSEA YATWAA NGAO YA JAMII
STRAIKA Sergio Aguero amefanikiwa kufunga mabao mawili ambayo kwake ni ya 200 na 201 akiwa ndani ya kikosi cha Manchester City, ambapo y...
Sport Headline
ARSENAL IMESHINDA KWA PENALTI 6-5 DHIDI YA CHELSEA
Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifugia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 90 ikitoa sare ya 1-1 dhidi Chelsea katika mchez...
Sport Headline
Simba yatoka sare 1-1 dhidi ya Mouloudia mechi imevunjika dakika 65
Timu ya Simba imepata sare ya bao 1-1 dhidi ya wapinzani wao Mouloudia mechi ambayo imevunjika dakika ya 65 kutokana na mvua inayonyesha...
Sport Headline
SPURS YAICHAPA AC MILAN 1-0
Mfungaji wa bao pekee la Tottenham Hotspur, Georges-Kevin N'Koudou (kushoto) dakika ya 47 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AC Milan al...
Sport Headline
Man U yaichapa 2-1 Real Madrid mchezo wa kirafiki
Mshambuliaji wa Manchester United, Alexis Sanchez akipongezwa na mchezaji mwenzake, Matteo Darmian baada ya kufunga bao la kwanza dakika...
Sport Headline
Msuva kaivunja rekodi Samatta
Mshambuliaji wa kimataifa Tanzania, Saimon Msuva anahitaji bao moja kuivunja rekodi ya Mbwana Samatta aliyoweka 2012 akiwa na TP Mazembe...
Sport Headline
Arsenal yaichapa PSG Goal 5-1 nchini Singapore
Nguvu mpya Alexandre Lacazette alifunga magoli mawili na kuisaidia Arsenal kuicharaza Paris St-Germain 5-1 nchini Singapore. Lacazette a...