
Steven Gerrard alitangulia kufunga bao la kuongoza kwa Liverpool kwa shuti kali la mpira wa adhabu dakika ya 65, kabla ya Phil Jagielka kufunga la kusawazisha dakika ya 90.
Everton walilalamikia kunyimwa penalti wakati Alberto Moreno alipomuangusha kwenye eneo la hatari Romelu Lukaku na Liverpool walilalamika Gareth Barry aliunawa mpira kwenye eneo la hatari, lakini refa Martin Atkinson akapeta.
Chapisha Maoni