Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Polisi wamevamia ofisi za CHADEMA wilaya ya Morogoro na kuwakamata Viongozi waandamizi Watano wa chama hicho waliokuwa wakijiandaa kuongoza maandamano ya kupinga Bunge Maalumu la Katiba.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni