
Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika
Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri
Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London
Kwenye Kilele cha Mashindano ya Miss
World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe
14.12.2O14 Ambapo Mtoto wao Miss
Tanzania 2013 Happiness Watimanywa
Anaiwakilisha Tanzania.

Happiness Watimanywa Wamewaomba
Watanzania Kumwombea NA Kuendelea Kumpigia Kura Miss Tanzania 2013 Katika Mashindano Hayo Ili Aweze Kuiwakilisha Tanzania Vema na Kuibuka
Mshindi.Ikumbukwe Mpaka Juzi Miss
Tanzania 2013 Happiness Watimanywa
Kura za Watanzania Zilimuwesha Kuingia Kumi Bora.
Chapisha Maoni