
Jeshi la Korea kaskazini limesema mfumo huo wa hali ya juu unatoka Marekani.
Limesema litachukua hatua punde litakapo fahamu wakati na sehemu ambapo makombora hayo
yatatumwa.
Maafisa Korea kusini watadhibitisha katika wiki kadhaa sehemu ambapo makombora hayo
yatatumwa.
BBC
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.