(nyuma) akipiga kichwa kuifungia timu yake bao la ushindi Uwanja wa Craven Cottage jana katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Marekani kwenye mchezo wa kirafiki.
Jozy Altidore aliifungia Marekani bao la kuongoza kwa penalti dakika ya 10 kabla ya Carlos Bacca kuisawazishia
Colombia kipindi cha pili.
Chapisha Maoni