Deus Kaseke ni kati ya wachezaji 13 waliopo kwenye orodha ya wachezaji ambao mikataba yao imemalizika mwishoni mwa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara.
Uongozi wa Singida United umemuandalia mkataba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Deus Kaseke kwa ajili ya kuusaini huku wakimwambia apumzike kwanza kabla ya kuusaini.
Chapisha Maoni