0
Makamu rais wa zamani wa FIFA ahukumiwa kifungo cha miaka tisa gerezani Makamu rais wa zamani wa FIFA ahukumiwa kifungo cha miaka tisa gerezani

Makamu Rais wa zamani wa FIFA amehukumiwa kifungo cha miaka tisa gerezani nchini Marekani ikiwa ni matokeo ya uchunguzi wa ruhswa iliyof...

Soma zaidi »

0
Klopp, Zidane wawania tuzo kocha bora wa mwaka Fifa Klopp, Zidane wawania tuzo kocha bora wa mwaka Fifa

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp, amejumuishwa miongoni mwa makocha 11, waliotajwa kuwania tuzo ya Kocha bora wa mwaka Fifa kwa wanaume....

Soma zaidi »

0
Kane, Salah, Mbappe nani kuibeba Ballon d’Or ya Ronaldo Kane, Salah, Mbappe nani kuibeba Ballon d’Or ya Ronaldo

Mshambuliaji Harry Kane na Mohamed Salah wametajwa katika orodha ya wachezaji kumi wanaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa Fifia 2...

Soma zaidi »

0
Fifa yatetea teknolojia ya kutumia picha za video Fifa yatetea teknolojia ya kutumia picha za video

Shirikisho la soka duniani Fifa limetetea mfumo mpya wa teknolojia ya Video uliobuniwa kuwasaidia Marefa kutoa maamuzi sahihi (VAR) kuwa...

Soma zaidi »

0
GOLDEN STATE WAITWANGA CAVALIERS NA KUBEBA UBINGWA WA NBA GOLDEN STATE WAITWANGA CAVALIERS NA KUBEBA UBINGWA WA NBA

Hatimaye Golden State Worriers wametimiza ndoto yao ya kuchukua ubingwa wa NBA. Wamechukua ubingwa baada ya ushindi wa pointi 129-120 dh...

Soma zaidi »

0
MTOTO WA TIOTE AVAA JEZI YA KUMKUMBUKA MAREHEMU BABA YAKE MTOTO WA TIOTE AVAA JEZI YA KUMKUMBUKA MAREHEMU BABA YAKE

Mtoto wa beki wa zamani wa Newcastle, Cheick Tiote ameonyesha kuguswa na msiba wa baba yake licha ya udogo wake. Rafael ameonekana akiwa...

Soma zaidi »

0
Afrika yapewa nafasi 9 kombe la dunia 2026 Afrika yapewa nafasi 9 kombe la dunia 2026

Baraza la shirikisho la soka duniani Fifa limeidhinisha mpango wa kulipatia bara la Afrika nafasi 9 wakati kombe la dunia litakapoongeza t...

Soma zaidi »

0
Mo Farah sasa kustaafu Mo Farah sasa kustaafu

Bingwa mara nne wa medali ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki Mo Farah anapanga kustaafu katika mbio za uwanjani baada ya kukamilika kwa...

Soma zaidi »

0
Orodha ya medali za mataifa ya Afrika mjini
Rio de Janeiro Orodha ya medali za mataifa ya Afrika mjini Rio de Janeiro

Hivi ndivyo baadhi ya mataifa ya Afrika yalivyoorodheshwa katika jedwali la medali katika michezo ya Rio de Janeiro iliokamilika. Baadhi ...

Soma zaidi »

0


USAIN
BOLT ASHINDA
NA MITA
400, AZOA 'MIMEDALI'   USAIN BOLT ASHINDA NA MITA 400, AZOA 'MIMEDALI'

Mwanariadha Usain Bolt akishangilia baada ya kushinda Medali ya Dhahabu ya mbio za mita 400 katika Olimpiki ya Rio 2016. Hiyo inakuwa M...

Soma zaidi »

0
Bolt anyakua dhahabu mbio za mita 200
Olimpiki Rio Bolt anyakua dhahabu mbio za mita 200 Olimpiki Rio

Mwanariadha Mjamaica Usain Bolt ameshinda mbio za mita 200 katika michuano ya Olympics huko Rio nchini Brazil na kujinyakulia medali ya d...

Soma zaidi »

0
Kamati ya Olimpiki Marekani yaomba radhi Kamati ya Olimpiki Marekani yaomba radhi

Kamati ya Olimpiki ya Marekani imeomba radhi kwa raia wa Brazil kwa kile walichosema jambo lisilokubalika la waogeleaji wa Marekani waliod...

Soma zaidi »

0
Rio Olimpiki 2016: Caster Semenya aingia
fainali 800m Rio Olimpiki 2016: Caster Semenya aingia fainali 800m

Mwanariadha wa Afrika Kusini Caster Semenya amefika fainali ya mbio za mita 800m wanawake ambazo zitafanyika Jumapili. Semenya, 25, aliye...

Soma zaidi »

0
Kocha wa Al Ahly ajiuzulu baada ya kuhofia usalama Kocha wa Al Ahly ajiuzulu baada ya kuhofia usalama

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Al Ahly ya Misri amejiuzulu chini ya mwaka mmoja baada ya kuteuliwa kuongoza klabu hiyo. Mholanzi Martin Jol am...

Soma zaidi »

0
Afisa wa Olimpiki akamatwa kwa wizi wa
Tiketi Afisa wa Olimpiki akamatwa kwa wizi wa Tiketi

Mjumbe wa ngazi ya juu wa Kamati ya Olimpiki Patrick Hickey amewekwa chini ya ulinzi kwa kuhusishwa na ufisadi wa tiketi za Olimpiki. Afi...

Soma zaidi »

0
Olimpiki Rio: Mkenya Ezekiel Kemboi
apokonywa medali Olimpiki Rio: Mkenya Ezekiel Kemboi apokonywa medali

Bingwa wa mbio za mita 3000 kuruka viunzi na maji kutoka Kenya Ezekiel Kemboi amenyang'anywa medali yake ya shaba aliyoishinda mjini ...

Soma zaidi »

0
Kipyegon wa Kenya bingwa mbio mita 1500 Kipyegon wa Kenya bingwa mbio mita 1500

Kenya imeng'ara tena baada ya mwanariadha wake Faith Kipyegon kunyakua dhahabu ya tatu kwa ajili ya Kenya katika mbio za mita 1500 wan...

Soma zaidi »

0
Kenya yashinda dhahabu mbio ya mita 3000
kuruka viunzi na maji Kenya yashinda dhahabu mbio ya mita 3000 kuruka viunzi na maji

Mwanariadha wa Kenya Conseslus Kipruto ameishindia kenya dhahabu ya nne katika mbio za mita 3000 kuruka viunzi na maji katika michezo ya ...

Soma zaidi »

0
Mchezaji wa Misri arudishwa nyumbani kwa
kukataa kumsalimia mwenzake wa Israel Mchezaji wa Misri arudishwa nyumbani kwa kukataa kumsalimia mwenzake wa Israel

Mchezaji wa Judo kutoka Misri Islam El Shehaby amerudishwa nyumbani kutoka katika michezo ya Olimpiki baada ya kukataa kusalimiana kwa mko...

Soma zaidi »

0
Rudisha ni shujaa wa mbio za mita 800 Rudisha ni shujaa wa mbio za mita 800

Mwanariadha raia wa Kenya amedhihirisha umwamba wake baada ya kushinda mbio za mita 800 huko Rio De Jeneiro nchini Brazil usiku wa kuamki...

Soma zaidi »
 
 
Top