
Temba amesema msichana huyo aitwaye Batulli alifariki juzi.
“RIP Batuli. Dada yng mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tutakukumbuka kwa mema yote. Batuli
ulijitolea kwa nguvu na mali ktk video yng ya nampenda yy na kwa nguvu za mungu tulifanikiwa,” ameandika Temba.
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.