
Kocha Guus Hiddink alitishia kujiuzulu iwapo Uholanzi ingefungwa na Latvia, lakini miamba ya Uholanzi ikapindua kibao.
Robin van Persie, Arjen Robben na Klaas-Jan Huntelaar waliifungia Uholanzi dhidi ya Lativia bao la kwanza, wakati beki wa zamani wa Chelsea, aliifungia timu yake la kwanza.
Kikosi cha Uholanzi kilikuwa Vrij, Bruma,
Willems, Afellay/Depay dk69, Blind/Clasie dk20, Sneijder, Robben, Huntelaar na Van Persie/ Wijnaldum dk79.
Latvia; Kolinko, Gabovs, Dubra, Gorkss ,
Kurakins, Ikaunieks/Laizans dk46, Zjuzins/ Cauna dk54, Fertovs, Visnakovs, Sabala na Visnakovs/Rudnevs dk70.
Katika mechi nyingine zilizocheza usiku huu, Israel imefunga 3-0 Bosnia na
Herzegovina mabao ya Gil Vermouth dakika yab36, Omer Damari na dakika ya 45.
Chapisha Maoni