
Beki na Nahodha, John Terry aliifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 31 akimalizia kazi nzuri ya mshambuliaji Diego Costa.
Diego Costa mwenyewe akafunga bao la pili dakika ya 62 akimalizia pasi ya Eden Hazard, kabla ya kumpisha mkongwe Didier Drogba dakika ya 83.
Africa Newss
Chapisha Maoni