Siku moja tu baada ya kuingia mkataba mpya na
kampuni maarufu ya kuuza matairi nchini ya Bin
Slum Tyres, klabu uya Mbeya City imeanza
kuonyesha jeuri ya fedha.
Mbeya City imeingia mkataba na kiungo
mshambuliaji kutoka Prisons ya Mbeya pia,
mohammed Mkopi.
Mkopi amesaini mkataba wa mwaka mmoja
kuichezea Mbeya City ambayo imesaini mkataba
wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 300
kupitia bidhaa za betri za magari za RB kutoka
kwa Bin Slum.
Awali, Mbeya City ilitaka kumchukua Didier
Kavumbagu kutoka Azam FC, lakini raia huyo wa
Burundi aliamunchini Vietnam ambako
ameanza maisha mapya ya soka.
:
Related Posts
Licha ya kutoswa Karim Benzema alikipongeza kikosi cha Ufaransa kwa kufanikiwa kutinga hatua ya fainali
Mchezaji straika aliyetemwa KarimBenzema alikipongeza kikosi chaUfaransa kwa kufanikiwa kutinga ha[...]
Jul 11, 2016Serena Williams na Venus Williams walitamba kwenye fainali ya Wimbledon
Ndugu wawili kutoka Marekani, SerenaWilliams na Venus Williams walitambakwenye fainali ya Wimbledo[...]
Jul 11, 2016Arsenal Yamwinda Straika wa Ufaransa
Klabu ya soka ya Arsenal huendawakamkosa straika wa UfaransaAlexandre Lacazette baada ya kugwayaku[...]
Jul 11, 2016Christian Tello Akataa Ofa Ya Liverpool
Habari za chinichini kwa mujibu wagazeti la Dello Sport Italia zinadai kuwawinga wa Barcelona aliy[...]
Jul 11, 2016Alichosema Mama Ronaldo
Jana usiku mchezo wa fainali ya Euro2016 ulichezwa na kushuhudia timu yataifa ya Ureno ikifanikiwa[...]
Jul 11, 2016Gareth Bale Amsifia Ronaldo
Nyota wa timu ya taifa ya Wales, GarethBale amempa sifa staa mwenzake waReal Madrid, Cristiano Ron[...]
Jul 11, 2016
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.