0
Mshambuliaji Antoine
Griezmann akishangilia
baada ya kuifungia mabao
yote mawili dakika za 57 na
61 Ufaransa ikishinda 2-1
dhidi ya Jamhuri ya Ireland
katika mchezo wa hatua ya
16 Bora Euro 2016 jioni ya
leo Uwanja wa Parc
Olympique Lyonnais mjini
Decines-Charpieu. Ireland
ilitangulia kwa bao la Robbie
Brady dakika ya pili tu ya
mchezo na Ufaransa
inakwenda Robo Fainali

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top