0
Mshambuliaji Antoine
Griezmann akishangilia
baada ya kuifungia mabao
yote mawili dakika za 57 na
61 Ufaransa ikishinda 2-1
dhidi ya Jamhuri ya Ireland
katika mchezo wa hatua ya
16 Bora Euro 2016 jioni ya
leo Uwanja wa Parc
Olympique Lyonnais mjini
Decines-Charpieu. Ireland
ilitangulia kwa bao la Robbie
Brady dakika ya pili tu ya
mchezo na Ufaransa
inakwenda Robo Fainali

Chapisha Maoni

 
Top