0
Katibu wa shirikisho la kandanda la Afrika Mashariki na Kati, Nicholas Musonye, amesema kuna mgawanyiko mkubwa kwenye Cecafa ambao huenda ukadumaza maendeleo ya kandanda eneo hili.
Kulingana na Musonye, kuna baadhi ya mataifa wanachama ambayo yameungana kuangamiza Cecafa kwa madhumuni ya kujinufaisha.
Amesema kampuni za udhamini pia zimeungana na mataifa hayo kuangusha Cecafa.
John Nene amezungumza na Musonye mjini Nairobi.

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top