JAMII
Kesi ya Chid Benz Yapigwa
Kalenda hadi January 21 Mawaka
huu
KESI inayomkabili mwanamuziki wa Hip hop nchini, Rashid Makwiro ’Chid Benz’, imeahirishwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ...
JAMII
Kesi ya Chid Benz Yapigwa
Kalenda hadi January 21 Mawaka
huu
KESI inayomkabili mwanamuziki wa Hip hop nchini, Rashid Makwiro ’Chid Benz’, imeahirishwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ...
JAMII
UREMBO WA KUIGA NOMA: UREMBO BANDIA NUSURA
UNILETEE MAUTI
Baada ya masaibu ya kujitakia urembo bandia, Urach hawezi tena kutembea kwani kwa sasa anatumia kiti cha magurudumu Mwanamke aliyemaliza ka...
JAMII
Rais Kikwete Awataka Viongozi wa Dini Waendelee Kuliombea Amani
Taifa
Rais Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kuliombea taifa na watanzania kwa ujumla ili waweze kukabiliana na m...
JAMII
"Kulinda amani ni
jukumu la wote" LOWASSA
Waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema hakuna mtu yeyote mwenye hatimiliki ya Tanzania hivyo Watanzania wote wanao wajibu wa kuilinda...
JAMII
Pinda asema kauli yake ya
wapigeni ilimaanisha amani
Neno “piga” lina maana ya “fanya kitendo cha kukutanisha vitu kwa nguvu, fumua, ezeka, zaba, shambulia, chapa na tandika” kwa mujibu wa Ka...
JAMII
SEKESEKE LA MUIMBAJI WA INJILI KUTOKA DODOMA ROSE
MHANDO BADO NI KITENDAWILI
Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando. MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando ambaye hivi karibuni al...
JAMII
Kamati ya Miss TZ waililia wizara
Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa imeiandikia barua Wizara ya Habari Tamaduni na Michezo kuomba kikao cha pamoja kati yao na BASATA ili...
JAMII
Mwanamke Ajifungua mapacha walioungana, Musoma
Mwanamke mmoja mkazi wa kata ya Buhare katika manispaa ya Musoma mkoani Mara Bi Helena Paulo mwenye umri wa miaka 20 amejifungua watoto wa...
JAMII
MEMBE APONGEZA KANISA LA
ANGLIKANA KUPINGA USHOGA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amelipongeza Kanisa la Anglikana Tanzania kwa kusimama kidete kup...
JAMII
Papa Francis awateua makadinali 20 wapya
Papa Francis Papa Francis amewachagua makadinali 20 wapya akiwemo kutoka mataifa ya Tonga,Ethiopia na Myanmar. Kumi na tano kati yao wako ...
JAMII
Mh. Magufuli akutana na
Watendaji wa CCM jimbo la
Chato
Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Chato,Mh. John Pombe Magufuli (aliesimama) akizungumza na Watendaji mbali mbali wa Chama cha Mapin...
JAMII
Watanzania watakiwa kuchagua
viongozi wenye sifa
Katika kuingia mwaka mpya wa 2015 ambao pia ni mwaka wa uchaguzi,viongozi wa dini wamewaasa watanzania kuchagua viongozi wenye sifa kwani ...
JAMII
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YAMUUNGANO WA TANZANIA,
MHESHIMIWA DKT. JAKAYA
MRISHO KIKWETE KWA
WATANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
JAMII
AFRICA NEWSS INAWATAKIA HAPPY NEW YAER 2015
Tunapenda sana kuwatakieni kheri ya mwaka mpya tunajali sana sapoti zenu kwetu asanteni sana kwa kutupa sapoti kubwa mwaka uliopita 2014...
JAMII
RAIS WA ZANZIBAR ATOA
SALAMU ZA MWAKA MPYA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa salamu za mwaka mpya wa 2015 kwa wananchi wa Zanzibar na...
JAMII
Polisi Yatangaza Msako kwa
Wanawake Wanaofanya Biashara
ya Ngono
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu k...
JAMII
Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke mweusi tajiri
zaidi duniani
Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilio...
JAMII
Mgombea urais atabiriwa
kifo.....Yadaiwa Atafariki Ghafla
Akiwa Jukwaani
Maalim Hassan Hussein, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, marehemu Sheikh Yahya Hussein, ametabiri mambo 18 yatakayotoke...
JAMII
kakakuona aonekana kigamboni jijini Dar
leo
Wananchi wakiwa wamemzunguka Kakakuona aliyeonekana asubuhi majira ya saa moja maeneo ya Kigamboni Kisiwani. Mtaa wa Chaboko ambapo kwa ...
JAMII
RUSHWA YA NGONO
MASHINDANO YA MISS TANZANIA
YAFUNGWA
Mashindanoa ya Miss Tanzania Serikali ya Tanzania imeyafungia kwa miaka miwili mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandalizi kudaiwa kuk...