0
Nicki Minaj amekutana na kikwazo kikubwa katika mpango wake wa kuzungumza na wanafunzi wa
shule aliyosoma.

Mwimbaji huyo ameeleza jinsi alivyoumia baada ya mkuu wa shule hiyo kulikataa ombi lake la
kuongea na wanafunzi hao kwa nia ya kuwa- inspire wafanikiwe kama yeye.
Huenda mkuu huyo wa chuo ameona Nicki Minaj sio mtu sahihi wa kuwa-inspire wanafunzi wake
kwa kuzingatia video tata ya ‘Anaconda’ aliyoitoa hivi karibuni.

Hizi ni baadhi ya tweets za Nicki akionesha masikitiko yake baada ya kunyimwa nafasi hiyo.



Chapisha Maoni

 
Top