Hivi hawa jamaa wa baikoko ni wazima
kweli? nina wasiwasi na urijali wao
maana wanavyokatikiwa na
kusuguliwana makalio ya hao wadada
wao loo,kama wako vizuri na
wanavumilia tu hivyo hivyo kwasababu
ni kazi yao basi hao jamaa wanaroho
ngumu na wanafaa kuigwa na wanaume wengi kwa kupiga kazi hata katika mazingira magumu.
Chapisha Maoni