
Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Spain, ambaye amepachika mabao tisa katika mechi saba za Ligi Kuu, amekosa mechi nne kutokana na jeraha la
msuli na homa.
Kukosekana kwake pamoja na Loic Remy, kulifanya Didier Drogba kuwa mshambuliaji pekee wa
kutumainiwa.
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.