Nyota wa Brazil, Neymar akimsaidia jezi ya Barcelona shabiki aliyevamia uwanjani wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi wenyeji Austria mjini Vienna. Brazil ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino na David Luizon, wakati bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandar Dragovic.SHABIKI LAMVAA NEYMAR UWANJANI NA JEZI YA BARCA BRAZIL IKIICHAPA AUSTRIA 2-1 KIRAFIKI
Nyota wa Brazil, Neymar akimsaidia jezi ya Barcelona shabiki aliyevamia uwanjani wakati wa mchezo wa kirafiki dhidi wenyeji Austria mjini Vienna. Brazil ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Roberto Firmino na David Luizon, wakati bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandar Dragovic.
Chapisha Maoni