0
TIMU ya Manchester United imepangiwa tena mpinzani kibonde, wa Daraja la Pili katika Raundi ya nne ya Kombe la FA, Cambridge United.

Kikosi cha Louis van Gaal kitasafiri hadi Uwanja wa Abbey mwishoni mwa January wakati Mholanzi huyo akipambana na kukata kiu ya
miaka 11 ya United kutottwaa Kombe la FA.

Mashetani hao Wekundu walifuzu wamefuzu hatua hiyo baada ya kuifunga 2-0 timu ya Daraja la Kwanza, Yeovil Town katika Raundi ya Tatu.

RATIBA RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA

Southampton /Ipswich vs Crystal Palace

Cambridge vs Manchester United

Blackburn vs Swansea

Chelsea vs Millwall/Bradford

Derby vs Scunthorpe/Chesterfield

Preston vs Sheffield United

Birmingham City vs West Brom

Aston Villa vs Bournemouth

Cardiff vs Reading

Liverpool vs Bolton

Burnley/Tottenham vs Leicester

Brighton vs Arsenal

Rochdale vs Stoke

Sunderland vs Fulham/Wolves

Doncaster/Bristol City vs Everton/West Ham

Manchester City vs Middlesbrough

Mechi zitachezwa wikiendi ya Januari 24 na 25 mwaka 2015

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top