Batshuayi amemaliza msimu na magoli manne katika mechi tatu za mwisho za ligi, ikiwa ni
pamoja na goli lililoipa Chelsea taji
Mshambuliaji wa Chelsea Michy Batshuayi amesema yupo tayari kuondoka klabuni kwake kwa mkopo msimu ujao.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ameshindwa kumpoka namba Diego Costa katika Stamford Bridge katika msimu ambao Chelsea
wametwaa taji la Ligi Kuu Uingereza, mechi pekee aliyoanza ikiwa ile aliyofunga goli la ubingwa.
AS Monaco, West Ham United na Newcastle United iliyopanda daraja zinataka kumsajili
mchezaji huyo kwa uhamisho wa mkopo ili aweze kupata namba kikosi cha kwanza Ubelgiji kuelekea Kombe la Dunia 2018, na Batshuayi
hana shida na popote watakapompeleka Chelsea.
"Kusema kweli, Siwazi sana kuhusu mustakabali wangu," alikiambia chanzo cha Ubelgiji Het Nieuwsblad.
"Najitahidi kwa asilimia 200. Mengine ni maamuzi ya bodi ya klabu. Mimi ni mchezaji na
nitakwenda popote watakaponituma."
Batshuayi amemaliza msimu na magoli manne katika mechi tatu za mwisho za ligi, ikiwa ni
pamoja na goli lililoipa Chelsea taji.
Related Posts
Uefa yakubali kubadili kanuni ya faida ya 'goli la ugenini
Makocha wa timu kubwa barani Ulaya wamekitaka chama cha mpira barani humo (Uefa) kufanya mabadil[...]
Sep 05, 2018Raheem Sterling: Mchezaji wa England atakosa mechi dhidi ya Uhispania na Uswizi
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Manchester City Raheem Sterling amejitoa katika kikosi cha Engla[...]
Sep 04, 2018MOURINHO: ASEMA KUWA YEYE NI BORA ENGLAND
MANCHESTER United wamekuwa kwenye hali mbaya baada ya kupoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye L[...]
Aug 29, 2018SAMATTA APIGA HAT TRICK GENK YASHINDA 5-2 EUROPA LEAGUE
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amefunga mabao matatu timu yake KRC Genk ikiibuka na us[...]
Aug 23, 2018Serengeti Boys yaichapa Rwanda 4-0 leo Uwanja wa Taifa
Timu ya Taifa Tanzania chini ya miaka 17 'Serengeti Boys', Leo hii imeonyesha kandanda safi kabi[...]
Aug 21, 2018Kevin de Bruyne: Kiungo wa Man City aumia akifanya mazoezi
Nyota wa Manchester City Kevin de Bruyne anachunguzwa zaidi kwenye goti lake la kulia baada ya k[...]
Aug 16, 2018
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.