0

Mchezo huu wa fainali utachezwa katika dimba la Friends mjini Stockholm, kuanzia saa nne kasoro
robo kwa saa za Afrika mashariki na mwamuzi wa mchezo huo atakua Damir Skomina raia wa Slovenia.
Mchezo huu ni muhimu zaidi kwa Manchester United ambao wamemaliza ligi katika nafasi ya sita katika ligi ya England, hivyo kama watashinda licha ya kutwaa kombe watapata tiketi ya kucheza
michuano ya klabu bingwa ulaya msimu ujao.
Ajax tayari wana nafasi ya kucheza klabu bingwa ulaya msimu ujao kwa kuwa wamemaliza ligi ya kwao nchini Uholanzi wakiwa katika nafasi ya pili.


Chapisha Maoni

 
Top