Gonzalo Higuain akiwa amepozi na jezi ya AC Milan kuelekea kufanyiwa vipimo vya afya kwa ajili ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo wa muda mrefu wa msimu timu hiyo kutoka Juventus, zote za Italia. Juve inamuacha Higuain baada ya kumnunua Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo kwa Pauni Milioni 100 kutoka Real Madrid ya Hispania
Related Posts
RONALDO ANALIPWA ZAIDI SERIE A
Cristiano Ronaldo ndiye mchezaji anayelipwa zaidi Serie A na anaingiza mara tatu zaidi ya mcheza[...]
Sep 04, 2018Usajili wote uliofanywa na klabu za England
Manchester United imeshindwa kutimiza ndoto ya Mourinho ya kusajili beki ili kujenga kikosi chak[...]
Aug 09, 2018Chelsea wamnunua kipa wa Athletic Bilbao kwa uhamisho uliovunja rekodi ya dunia
Chelsea wamevunja rekodi ya dunia katika ununuzi wa mlinda lango kwa kumnunua kipa Kepa Arrizaba[...]
Aug 08, 2018Roger Marti wa Levante amemkaribisha nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kwenye klabu hiyo
MSHAMBULIAJI wa Levante UD, Roger Marti amemkaribisha nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kwe[...]
Aug 02, 2018Crystal Palace wamsajili mchezaji wa West Ham Cheikhou Kouyate
Crystal Palace imemsajili mchezaji wa kiungo cha kati Cheikhou Kouyate kutoka West Ham katika mk[...]
Aug 02, 2018
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.