Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester United dakika ya 67 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Crystal Palace usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.MAN U YAICHAPA CRYSTAL PALACE 1-0
Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester United dakika ya 67 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Crystal Palace usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
Chapisha Maoni