Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza kwa penalti dakika ya 33 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya New Zealand baada ya Danilo kuchewa rafu usiku wa Jumamosi Uwanja wa Krestovskyi mjini St Petersburg katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mabara. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 37, Andre Silva dakika ya 80 na Luis Nani dakika ya 90 na ushei. Matokeo hayo yanaifanya Ureno ifikishe pointi saba na kumalizana kileleni sawa na Mexico iliyomaliza na pointi saba pia baada ya kuifunga Urusi 2-1 na zote zinakwenda Nusu Fainali. Wenyeji Urusi wameungana na New Zealand kupanda jukwaani kitazama mechi za kumalizia michuano ya 2017
Related Posts
Makundi ya Europa League kazi ipo kwa vigogo Egland
Makundi ya Europa League baada ya kupangwa Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa[...]
Aug 31, 2018Luka Modric ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa kiume wa UEFA
KIUNGO wa kimataifa wa Croatia, Luka Modric ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa kiume wa Shiriki[...]
Aug 30, 2018RONALDO USO KWA USO NA MAN UNITED
Cristiano Ronaldo atarejea Old Trafford baada ya Manchester United kupangwa Kundi H pamoja na ma[...]
Aug 30, 2018Tottenham Spurs waichapa 3-0 Manchester United Old Trafford na kumuongezea shinikizo Jose Mourinho
Tottenham waliendeleza mwanzo wao mwema wa Ligi Kuu England msimu huu kwa kuwafunga Manchester U[...]
Aug 27, 2018Arsenal yaichapa West Ham 3-1
Arsenal imepata ushindi wake wa kwanza msimu huu baada ya kuichapa West Ham kwa mabao 3-1, huku [...]
Aug 25, 2018MAN CITY YATOKA SARE YA 1-1 NA WOLVES
Manchester City imebanwa mbavu na Wolves katika mchezo wa Ligi Kuu England kwa matokeo ya sare y[...]
Aug 25, 2018
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.